Preview YouTube video Wakopeshwa Pikipiki Bila Riba
Preview YouTube video Serikali Yatakiwa Kuharakisha Marekebisho Ya Sheria Ya Ndoa
Preview YouTube video Mpango Wa Miaka Mitano Ya Matibabu Ya Homa Ya Ini
Preview YouTube video NSSF Yawaondoa Wadaiwa Sugu Walioshindwa Kulipia Nyumba
Preview YouTube video Kero Ya Maji Taka Dar es Salaam
Preview YouTube video TPA Yasema Bandari Ya Mtwara Haijazidiwa
Preview YouTube video Maafisa Uwezeshaji Watakiwa Kusaidia Jamii Kushiriki Uwekezaji
Preview YouTube video Maafisa Ugani Watakiwa Kwenda Vijijini Kuwaelekeza Wakulima
Preview YouTube video Serikali Yapania Kuinua Soka La Wanawake
Preview YouTube video Vijana Watakiwa Kuwa Wabunifu Wa Sanaa
Preview YouTube video Simba Yabanwa Na Majimaji
Preview YouTube video Mourinho Akerwa Na Kadi Ya Pogba
|
9:22 PM (15 hours ago)
![]() | ![]() ![]() | ||
SIMU.TV: Rais Edgar Lungu wa Zambia amesema anatarajia kuona reli ya TAZARA inafufuka na kuendelea kufanya kazi kama ilivyokuwa hapo awali; https://youtu.be/clvJEep4uyw
SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Kibaha Asunta Mshama, amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha afya Kibaha na kukuta mazingira mabovu ya usafi/; https://youtu.be/EkfhX6tpxHM
SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar Es salaam Paul Makonda, amewataka viongozi wa mkoa huo kuwatumikia wananchi wao kama walivyoahidi kipindi cha uchaguzi; https://youtu.be/P4Dli0cRqd4
SIMU.TV: Waziri wa Ardhi William Lukuvi amesema serikali haitosita kumfuta kazi kiongozi yeyote wa ardhi atakayehusika kuhujumu maendeleo ya mwananchi; https://youtu.be/U3Fg9O9DdN8
SIMU.TV: Serikali kupitia Naibu waziri wa Elimu Mhandisi Stella Manyanya, imetolea ufafanuzi juu ya utaratibu unaojulikana wa kujiunga chuo kikuu baada ya kuenea kwa taarifa za uongo; https://youtu.be/tzsPSA53MNk
SIMU.TV: Katibu mkuu wa Wizara wa Habari na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel amesema serikali itaendelea kulinda rasilimali za shirika la utanagzaji nchini; https://youtu.be/CEbKyGaXLeY
SIMU.TV: Hali ya usafirishaji wa korosho katika Bandari ya Mtwara kwa sasa iko katika hali ya kuridhisha baada ya kuwepo kwa utaratibu mzuri wa usafirishaji; https://youtu.be/Z6zpc4iSgUQ
SIMU.TV: Sekta ya kilimo iko nyuma katika kuchangia pato la Taifa huku sababu kuu ikitajwa kuwa ni kupungua kwa watanzania wanaojihusisha na kilimo; https://youtu.be/Ifk8cTJHSTE
SIMU.TV: Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi limewataka viongozi wa mikoa ya kusini kuongeza ushiriki wa wananchi katika miradi yao; https://youtu.be/1shuV0PjwFA
SIMU.TV: Bei ya vitunguu katika soko la Ilala jijini Dar Es salaam imepanda mpaka kufikia laki moja ukilinganisha na bei ya awali ya shilingi elfu sitini; https://youtu.be/NSLAp02PSNk
SIMU.TV: Serikali imesema inaandaa mfumo ambao utaiwezesha sekta ya michezo nchini kujiendesha na kujitegemea yenyewe bila kuombaomba; https://youtu.be/1RSkJvR3Sa8
SIMU.TV: Waziri wa Habari Nape Nnauye amewataka wasanii nchini kuamua kufanya kazi kwa kutumia vipaji vyao na kuachana na maisha ya kuombaomba; https://youtu.be/409Bu6ZSVPY
SIMU.TV: Mashindano ya majeshi yaayoendelea wilayani Songea yamezidi kuchukua sura mpya na leo hii tumefanikiwa kukusanyia matokeo ya mashindano ya Riadha; https://youtu.be/57vCTvtVSTM
Preview YouTube video Reli Ya TAZARA Kusukwa Upya
Preview YouTube video Uchafu Kituo Cha Afya Kibaha
Preview YouTube video Makonda na Dar Mpya
Preview YouTube video Utatuzi Kero za Ardhi Kigoma
Preview YouTube video Ufafanuzi Viwango Kujiunga Chuo Kikuu
Preview YouTube video Rasilimali za TBC
Preview YouTube video Usafirishaji Korosho
Preview YouTube video Kilimo Chazidi Kushuka Nchini
Preview YouTube video Wananchi Kushiriki Miradi Ya Maendeleo
Preview YouTube video Bei ya Vitunguu Yapanda Maradufu
Preview YouTube video Serikali Kuunda Mfumo Mpya Michezoni
Preview YouTube video Waziri Nape Ampa Tano Steve Nyerere
Preview YouTube video Mashindano Ya Majeshi Songea
No comments:
Post a Comment