Tuesday, June 14, 2022

CV YANGU

 

         

           CV-TAARIFA YANGU KWA UFUPI


Jina: RICHARD GISSY MWAIKENDA


KOZI TAALUMA YA UPIGAJI PICHA

    -World Press Photo -2002

    -Fredrick Noumann Foundation-1999

    -Wizara za Elimu na Utamaduni-1999

    -Imaging Our Invironment-SADC Region-1997

    -Goethe-Institute -1994


TUZO MBALIMBALI

  -Mpigapicha Bora Tanzania (EJAT) 2009

  -Mshindi wa Pili uandishi Makala Habari za Michezo (EJAT)-2014       

  -Mpigapicha Bora wa Pili Tanzania Michezo (EJAT)-2010


USHIRIKI MATUKIO MAKUBWA

    -Mwandishi wa Habari Mbio za Mwenge Nchi Nzima-2001

    -Kampeni za Uchaguzi Mkuu Tanzania Bara/Visiwani 1995-2015

UTEUZI

Niliteuliwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kuwa Mjumbe wa Kamati ya Kutathmini Hali  ya Uchumi ya Vyombo vya Habari na Wanahabari- Machi 2023.


    -COVERAGE YA VIONGOZI MASHUHURI DUNIANI

-Eg.George Bush

      -Barrack Obama wa Marekani, XI Jimping wa China...


KAZI

   -Kampuni ya Business Times-Majira 1994-2009

   -Gazeti la Jambo Leo 2009-2017

   -Soka Magazine- 2002

    -Kamanda wa Matukio Blog-Mmiliki

    -Mhariri Blog ya Taifa ya CCM (CCM BLOG)-2018-Hadi sasa 


KUZALIWA 

  -Kandete, Rungwe mkoani Mbeya 1964


ELIMU

  -Msingi-Kandete, Rungwe mkoani Mbeya

          -Madenge, Temeke, Dar es Salaam

  -Sekondari-Azania, Ilala, Dar es Salaam


Nimeambatanisha na kopi za vyeti vya Taaluma

     

     

No comments:

Post a Comment