Tuesday, January 25, 2022

MIMI NA RAIS JAKAYA KIKWETE

2012  nyumbani kwa Rais Ikulu baada ya familia ya Kikwete  na familia yake kuandikishwa sensa ya watu.
Akipokea mchango wanu wa sh. 10,000 Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa hosteli Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Akiniambia jambo wakati wa mahafali ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-DUCE Changombe
 

No comments:

Post a Comment