Tuesday, January 25, 2022

NIKIWA NA RAIS JOHN MAGUFULI 2015

Nikijadiliana jambo baada ya kuteuliwa kuwa mgombea urais kupitia CCM 2015. Nilipewa jukumu la kuwa Mwenyekiti wa waandishi wa habari kwenye kampeni  zake.

 

MIMI NA RAIS JAKAYA KIKWETE

2012  nyumbani kwa Rais Ikulu baada ya familia ya Kikwete  na familia yake kuandikishwa sensa ya watu.
Akipokea mchango wanu wa sh. 10,000 Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa hosteli Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Akiniambia jambo wakati wa mahafali ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-DUCE Changombe
 

CV-TAARIFA YANGU KWA UFUPI


 CV-TAARIFA YANGU KWA UFUPI


Jina: RICHARD GISSY MWAIKENDA


KOZI TAALUMA YA UPIGAJI PICHA

    -World Press Photo -2002

    -Fredrick Noumann Foundation-1999

    -Wizara za Elimu na Utamaduni-1999

    -Imaginga Our Inviroment-SADC Region-1997

    -Goethe-Institute -1994


TUZO MBALIMBALI

  -Mpigapicha Bora Tanzania (EJAT) 2009

  -Mshindi wa Pili uandishi Makala Habari za Michezo (EJAT)-2014       

  -Mpigapicha Bora wa Pili Tanzania Michezo (EJAT)-2010


USHIRIKI MATUKIO MAKUBWA

    -Mwandishi wa Habari Mbio za Mwenge Nchi Nzima-2001

    -Kampeni za Uchaguzi Mkuu Tanzania Bara/Visiwani 1995-2015

    -Coverage ujio wa Viongozi Mashuhuri Duniani Eg.George Bush

      Barrack Obama wa Marekani, XI Jimping wa China...


KAZI

   -Kampuni ya Business Times-Majira 1994-2009

   -Gazeti la Jambo Leo 2009-2017

   -Soka Magazine- 2002

    -Kamanda wa Matukio Blog-Mmiliki

    -Blog ya Taifa ya CCM (CCM BLOG)-2018-Hadi sasa 


KUZALIWA 

  -Kandete, Rungwe mkoani Mbeya 1964


ELIMU

  -Msingi-Kandete, Rungwe mkoani Mbeya

          -Madenge, Temeke, Dar es Salaam

  -Sekondari-Azania, Ilala, Dar es Salaam