Tuesday, January 25, 2022
NIKIWA NA RAIS JOHN MAGUFULI 2015
MIMI NA RAIS JAKAYA KIKWETE
Akipokea mchango wanu wa sh. 10,000 Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa hosteli Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Akiniambia jambo wakati wa mahafali ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-DUCE Changombe
CV-TAARIFA YANGU KWA UFUPI
CV-TAARIFA YANGU KWA UFUPI
Jina: RICHARD GISSY MWAIKENDA
KOZI TAALUMA YA UPIGAJI PICHA
-World Press Photo -2002
-Fredrick Noumann Foundation-1999
-Wizara za Elimu na Utamaduni-1999
-Imaginga Our Inviroment-SADC Region-1997
-Goethe-Institute -1994
TUZO MBALIMBALI
-Mpigapicha Bora Tanzania (EJAT) 2009
-Mshindi wa Pili uandishi Makala Habari za Michezo (EJAT)-2014
-Mpigapicha Bora wa Pili Tanzania Michezo (EJAT)-2010
USHIRIKI MATUKIO MAKUBWA
-Mwandishi wa Habari Mbio za Mwenge Nchi Nzima-2001
-Kampeni za Uchaguzi Mkuu Tanzania Bara/Visiwani 1995-2015
-Coverage ujio wa Viongozi Mashuhuri Duniani Eg.George Bush
Barrack Obama wa Marekani, XI Jimping wa China...
KAZI
-Kampuni ya Business Times-Majira 1994-2009
-Gazeti la Jambo Leo 2009-2017
-Soka Magazine- 2002
-Kamanda wa Matukio Blog-Mmiliki
-Blog ya Taifa ya CCM (CCM BLOG)-2018-Hadi sasa
KUZALIWA
-Kandete, Rungwe mkoani Mbeya 1964
ELIMU
-Msingi-Kandete, Rungwe mkoani Mbeya
-Madenge, Temeke, Dar es Salaam
-Sekondari-Azania, Ilala, Dar es Salaam