Mwinjilisti wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Mtaa wa Kivule, Ukonga, Dar es Salaam, Michael Mgaya akipiga picha na familia ya Richard Mwaikenda pamoja na watoto wa majirani zake baada ya Ibada ya Pasaka leo.Kutoka kushoto ni Ezelina, Dotto, Kulwa, Monji, Tusekile na Fatma Nasoro
Mchungaji wa Mungubariki Mauki akipiga picha na familia ya Richard Mwaikenda pamoja na watoto wa majirani zake baada ya Ibada ya Pasaka leo.
Mchungaji wa Mungubariki Mauki akipiga picha na familia ya Richard Mwaikenda pamoja na watoto wa majirani zake baada ya Ibada ya Pasaka leo.
No comments:
Post a Comment