Thursday, March 21, 2024

TUKIWA MSIBANI WA SANNU ESAU MWASEBA

Mama.mzazi, Ezelina Ihola Katisya, Mwakapesa akiwa na Mimi, watoto wa mdogo wake pamoja na wajukuu zake wakati wa msiba wa wa SANNU (Asanusye? Aliyekuwa Mkufunzi wa Viungo wa TIMU ya wasichana ya JKT Queens aliyefariki Machi 16, 2024 katika Hospitali ya JESHI ya Lu galo, jijini Dar.

SANNU ambaye awali aliwahi KUCHEZEA TIMU ya soka ya Ligi Kuu.ya JKT OLJORO alipatwa.na.masahibu akiwa katika kozi yaani.mafunzo ya kijeshi na hatimaye kukimbizwa KUPATA matibabu.katika Hospitali hiyo na hatimaye kufariki DUNIA saa 9 alfajiri Machi 16.

MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI

Wazazi wake wote wawili walitangulia MBELE ya haki, ameacha mtoto Nancy, dada zake, Bupe, Bahati, Tumpe, Anneth, Tuli na wadogo zake wa kiume Andrea, Paulo, Sauli na Aswile.