MWAIKENDA'S FAMILY BLOG
Tuesday, July 25, 2017
ENZI ZANGU
Marafiki zangu Obeid Mwangasa (kushoto) na Nyakasagani Masenza (kulia)
Nikiwa na wapigapicha wenzangu kwenye mechi Uwanja wa Taifa wa zamani. Kutoka kushoto ni Emmanuel Ndege, Deus Mhagale na Nyakasagani Masenza
MAMBO YA JAMBO LEO JULAI 2017
NIKIWA NA WANAHABARI WENZANGU WA JAMBO LEO JULAI 2017, QUALITY CENTRE
Hapa nipo waandishi wenzangu na Jemah Makamba, Dalila Sharif pamoja na Leon Bahati Gazeti la Jambo Leo
Nikiwa na Dalila Sharif
NIKIWA NA KATIBU MKUU WA CCM, ABDULRAHMAN KINANA PAMOJA NA NAPE NNAUYE KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA 2016
NIKIWA NA RAIS JOSEPH KABILA WA DRC CONGO IKULU APRI; 10,2016
NIKIWA KAZINI UWANJA WA TAIFA 2015
NIKIWA NA MKUU WA MKOA WA KAGERA JOHN MONGELA 2015
Nikiwa na School Mate wangu Azania ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera na sasa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Kinana ya kuimarisha uhai wa chama wilayani Biharamulo
NIKIWA NA RAIS JOHN MAGUFULI 2015
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)